#AskMwenda

8 سلاسل التغريدات

UTT-AMIS ni kitu gani haswaa? Ni kampuni ya uwekezaji/upatu? Nikiwekeza pesa zangu kwao zitakuwa salama kwa kiasi gani labda kwamfano? Nitapata faida kiasi gani nikiwekeza? Kuj...

Mfuko wa UTT-AMIS ndiyo Mfuko wa Uwekezaji wa Pamoja wa kwanza TZ. Mwaka 2005 walianzisha Mfuko wa Umoja kwa kuuza kipande kimoja kwa TZS 100/- UTT-AMIS ina mifuko sita (6) amba...

Faida ya kuwekeza kwenye hisa siyo lazima iwe gawio tu. ONGEZEKO LA MTAJI ni faida mojawapo! ~ 24 Jan 2023 hisa moja ya CRDB ilikuwa inauzwa TZS 380/- tu! ~ 24 Machi 2023 hisa il...

Siyo tu kwenye Kikapu, Kobe Bryant alikuwa na jicho la kuona fursa! ~ 2014 alinunua 10% ya hisa za kinywaji cha BodyArmor kwa $ 6m! ~ 2018 Coke wakaja kununua hisa kidogo za Body...

Tukisema utajiri upo kwenye hisa muwe mnasikiliza na kuelewa! ☆ 1996 CRDB Bank ilivyobinafsishwa iliuza hisa moja kwa TZS 10,000 tu! ☆ 1998 ikaongea hisa 2 kwa kila hisa 1, zikaw...

Faida za Kuwekeza Kwenye Hisa! ■ GAWIO - Ni sehemu ya faida ambayo kampuni hutoa kwa wawekezaji. Ndiyo faida ya kwanza ambayo wawekezaji wengi huipenda wanapowekeza. ■ ONGEZEKO L...

24 Feb 2021 niliweka oda ya hisa 10k za CRDB kwa TZS 200/hisa. Baada ya siku chache zikapanda hadi TZS 215/- SIKUNUNUA! TZS 2m yangu ikarejeshwa kwenye akaunti, sijui hata nilifa...

Tofauti kati ya hisa na hatifungani. HISA - Ni sehemu ya umiliki wa biashara/kampuni. Unaponunua hisa za kampuni unakuwa ni mmoja ya wamiliki wa hiyo kampuni husika. HATIFUNGANI...