2/
Tohora akamchombeza Sarah kuhusu mchongo mmoja, kwamba atafute passports yake na watoto ila ziwe na majina bandia.
Uhuni ulichezwa, Sarah apata passport ndani ya siku15. Yake ikiwa na jina Khadija na za wanae zikiwa na majina Jamila, Halfan na Jennifer.
Kwanini walifany hiv
Tohora akamchombeza Sarah kuhusu mchongo mmoja, kwamba atafute passports yake na watoto ila ziwe na majina bandia.
Uhuni ulichezwa, Sarah apata passport ndani ya siku15. Yake ikiwa na jina Khadija na za wanae zikiwa na majina Jamila, Halfan na Jennifer.
Kwanini walifany hiv
5/
By that time tayari huku TZ kilikua kimeshanuka, taarifa zilisambaa nchi nzima kuhusu ujambazi huo wa pesa nyingi sana.
Sarah na Tohora walikuwa ni most wanted wanatafutwa kila kona ya dunia
Wakiwa Kenya Sarah na Tohora wakaanza kununua assets, nyumba, magari na viwanja
By that time tayari huku TZ kilikua kimeshanuka, taarifa zilisambaa nchi nzima kuhusu ujambazi huo wa pesa nyingi sana.
Sarah na Tohora walikuwa ni most wanted wanatafutwa kila kona ya dunia
Wakiwa Kenya Sarah na Tohora wakaanza kununua assets, nyumba, magari na viwanja
11/
Tukiwa tunaelekea siku ya wapendanao, Valentine's;
Usiruhusu penzi likucontrol, likudanganye, likusahaulishe wewe ni nani, malengo yako ni yapi, ukajisahau ukaacha kufanya majukumu yako kisa upendo.
Kumbuka riwaya ya Ngoswe Penzi kitovu cha uzembe.
Mwisho:
Tukiwa tunaelekea siku ya wapendanao, Valentine's;
Usiruhusu penzi likucontrol, likudanganye, likusahaulishe wewe ni nani, malengo yako ni yapi, ukajisahau ukaacha kufanya majukumu yako kisa upendo.
Kumbuka riwaya ya Ngoswe Penzi kitovu cha uzembe.
Mwisho:
Loading suggestions...