5/
-Alivyodhihakiwa mamake Oliver akajam, akakinukisha, akampiga sn Noah kdg amuue
-Baada ya hilo soo, Oliver akaona bora atoroke
-Akatoroka, siku 7 dogo anapiga kwata akatafute maisha London.
-Kufika London kibahati akakutana na dogo mwngn wa age yake anaitwa Jack. Akampokea
-Alivyodhihakiwa mamake Oliver akajam, akakinukisha, akampiga sn Noah kdg amuue
-Baada ya hilo soo, Oliver akaona bora atoroke
-Akatoroka, siku 7 dogo anapiga kwata akatafute maisha London.
-Kufika London kibahati akakutana na dogo mwngn wa age yake anaitwa Jack. Akampokea
8/
-Dogo alivyokamatwa akagongwa sn vitasa, ila pona pona yake akatetewa na mashuhuda walioona tukio Zima. Kwamba dogo hajaiba aliyeiba katoroka
-Mzee aliyeibiwa Mr. Brownlow mtu poa sn aise. Akamuonea huruma dogo akamchukua na kumpa hifadhi nyumbani kwake huku akimtibu
-Dogo alivyokamatwa akagongwa sn vitasa, ila pona pona yake akatetewa na mashuhuda walioona tukio Zima. Kwamba dogo hajaiba aliyeiba katoroka
-Mzee aliyeibiwa Mr. Brownlow mtu poa sn aise. Akamuonea huruma dogo akamchukua na kumpa hifadhi nyumbani kwake huku akimtibu
9/
-Dogo akawa na utawala na amani tele maana Mzee Brownlow alikua mtu poa sn
-Lile genge la uhalifu la Fagin wakawa na mashaka kuwa Oliver anaweza kuvujisha siri zao, so ikabidi msako uanze kumrudisha dogo kwenye genre
-Siku 1 dogo kaagizwa na mzee Brown aende mjini
-Dogo akawa na utawala na amani tele maana Mzee Brownlow alikua mtu poa sn
-Lile genge la uhalifu la Fagin wakawa na mashaka kuwa Oliver anaweza kuvujisha siri zao, so ikabidi msako uanze kumrudisha dogo kwenye genre
-Siku 1 dogo kaagizwa na mzee Brown aende mjini
13/
-Dogo anahurumisha, maisha yake ni km digidigi, nuksi, mikosi, majanga,hajawahi kuwa na furaha
-Bimkubwa akamleta Dr. Losbern ili kumtibu jeraha la 🔫. Mdogo mdogo Oliver Twist akaanza kurejea kwenye afya yake, mwishoe akapona
-Hakuwa na furaha akijua wazoo Fagin anamtafuta
-Dogo anahurumisha, maisha yake ni km digidigi, nuksi, mikosi, majanga,hajawahi kuwa na furaha
-Bimkubwa akamleta Dr. Losbern ili kumtibu jeraha la 🔫. Mdogo mdogo Oliver Twist akaanza kurejea kwenye afya yake, mwishoe akapona
-Hakuwa na furaha akijua wazoo Fagin anamtafuta
15/
-Siri iliyofichika ni kubwa, ni mkufu aliouacha mama yake ukionyesha jina lake 'Agnes'
-Kumbe Agnes mamake Oliver alikua hawara wa tajir mkubwa anaitwa Leeford ambae alikufa kabla dogo kuzaliwa
-Kwenye urithi wake alisema nusu ya mali zake apewe mtoto atakayezaliwa na Agnes
-Siri iliyofichika ni kubwa, ni mkufu aliouacha mama yake ukionyesha jina lake 'Agnes'
-Kumbe Agnes mamake Oliver alikua hawara wa tajir mkubwa anaitwa Leeford ambae alikufa kabla dogo kuzaliwa
-Kwenye urithi wake alisema nusu ya mali zake apewe mtoto atakayezaliwa na Agnes
18/
-Taarifa kuwa Nancy amemsanua Rose kuwa Oliver anabidi auwawe zikamfikia mpenzi wake jambazi Bill Sikes.
-Bill Akaona km kasnichiwa, akampiga risasi Nancy na akafa hapo hapo, nae Bill akazidiwa ujanja baada ya kuuwa nae akajinyonga
-Taarifa kuwa Nancy amemsanua Rose kuwa Oliver anabidi auwawe zikamfikia mpenzi wake jambazi Bill Sikes.
-Bill Akaona km kasnichiwa, akampiga risasi Nancy na akafa hapo hapo, nae Bill akazidiwa ujanja baada ya kuuwa nae akajinyonga
19/
-Bimkubwa, Rose na Oliver wakafanikiwa kufika kwa mzee Brownlow. Kupitia siri alizovujisha Nancy yule aliyeuwawa baba wa Oliver akatambulika
-Kumbe pia baba wa Oliver alikua rafiki dam-dam wa mzee Brownlow na msimamizi wa mirathi
-Mzee akasimamia show hadi Dogo akapata haki
-Bimkubwa, Rose na Oliver wakafanikiwa kufika kwa mzee Brownlow. Kupitia siri alizovujisha Nancy yule aliyeuwawa baba wa Oliver akatambulika
-Kumbe pia baba wa Oliver alikua rafiki dam-dam wa mzee Brownlow na msimamizi wa mirathi
-Mzee akasimamia show hadi Dogo akapata haki
20/
-Genge la Fagin likadakwa na watu wa usalama likasambaratishwa love na Fagin akahukumiwa kifo
-Bimkubwa na Rose wakaenda kuishi kwa amani nje ya London, huku Oliver akiwa na utajiri mkubwa sn wa urithi akawa adopted na mzee Brownlow
-OLIVER TWIST akapata furaha ya kuishi
-Genge la Fagin likadakwa na watu wa usalama likasambaratishwa love na Fagin akahukumiwa kifo
-Bimkubwa na Rose wakaenda kuishi kwa amani nje ya London, huku Oliver akiwa na utajiri mkubwa sn wa urithi akawa adopted na mzee Brownlow
-OLIVER TWIST akapata furaha ya kuishi
Loading suggestions...