8.
iii/ MONEY GAME IS A WAR
Pesa ni vita, na hkn vita mbaya km vita ya kiuchumi. Ukiwa kwnye mchakato wa kufanikiwa utaalika maadui wengi sn
Your worst enemies ni rafiki zako wa karibu kbs mnaokula wote ubwabwa kwenye sahani 1
Be cautious with friends. Mchawi wako hatoki mbali
iii/ MONEY GAME IS A WAR
Pesa ni vita, na hkn vita mbaya km vita ya kiuchumi. Ukiwa kwnye mchakato wa kufanikiwa utaalika maadui wengi sn
Your worst enemies ni rafiki zako wa karibu kbs mnaokula wote ubwabwa kwenye sahani 1
Be cautious with friends. Mchawi wako hatoki mbali
9
Nina mwanangu nimemsupport kuishi nae kwangu under same roof more than 8 months. I pay the bills!
Nimelea 100% ujauzito na kujifungua kwa mkewe na gharama za mwanzo za kulea mtoto, still jamaa alinisnitch akanichoma TRA kuwa silipi kodi ktk business dealings zng
Vita ni vita!
Nina mwanangu nimemsupport kuishi nae kwangu under same roof more than 8 months. I pay the bills!
Nimelea 100% ujauzito na kujifungua kwa mkewe na gharama za mwanzo za kulea mtoto, still jamaa alinisnitch akanichoma TRA kuwa silipi kodi ktk business dealings zng
Vita ni vita!
12.
vi/ PESA HAINA MWENYEWE
Niamini mm, ukipata pesa ukakaa nayo ndani ama kutunza benk lazima itakutoroka yote
Pesa ni km mshale wa saa, inazunguka, haikai sehemu 1, huwezi kutajirika kwa biashara 1, invest as much as you can
Tafuta fursa kushoto, kulia na katikat, usilale!
vi/ PESA HAINA MWENYEWE
Niamini mm, ukipata pesa ukakaa nayo ndani ama kutunza benk lazima itakutoroka yote
Pesa ni km mshale wa saa, inazunguka, haikai sehemu 1, huwezi kutajirika kwa biashara 1, invest as much as you can
Tafuta fursa kushoto, kulia na katikat, usilale!
15.
ix/ Kutajirika ni kama kujipaka Mavi, pia kutajirika ni km kujipaka marashi.
Piga uwa galagaza, ukifanikiwa lazima utapata watu watakaokuchukia for no reason.
Piga uwa galagaza, ukifanikiwa lazima utapata watu watakaokupenda for no reason
Jifunze kubalance hate & love
ix/ Kutajirika ni kama kujipaka Mavi, pia kutajirika ni km kujipaka marashi.
Piga uwa galagaza, ukifanikiwa lazima utapata watu watakaokuchukia for no reason.
Piga uwa galagaza, ukifanikiwa lazima utapata watu watakaokupenda for no reason
Jifunze kubalance hate & love
Nimechoka kutype, pia niwahi kupiga mishe za kujitoa mavumbini, maana hapa natweet sina ht hela ya supu... but I hope this thread was helpful for anyone striving to achieve success.
Let's meet at the top. WAGMI - We're All Gonna Make It
Let's meet at the top. WAGMI - We're All Gonna Make It
Loading suggestions...