(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi

@EduTalkTz

3 Tweets 12 reads Apr 26, 2023
Gharama ya Law School of Tanzania kwa Ujumla ni sh. 8,000,000.
8,000,000 * 821 = 6,568,000,000
Kwenye darasa la wanafunzi 821, unafaulisha wanafunzi 23 tu, halafu tunaona hii ni sawa?
Kirahisi kabisa tunaindividualize kwa kusema β€œwanafunzi hawana uwezo” halafu imeishia hapo?πŸ€”
Huwa nafurahi sana nikiona mtu mzima anajitajidi kwa nguvu zote kuspin hoja. Kwamba hamuelewi maana ya mwalimu kufaulisha au mmeamua kuja na tafsiri sisisi kwa interests zenu?😎
Anayeweza kunisaidia ile report ya Mwakyembe nitamshukuru sana.πŸ™πŸΏ

Loading suggestions...