JALADA #5: - THREAD -
YASIYOSEMWA KIFO CHA MAGUFULI, CDF MABEYO KIKWAZO, FISI WALIITAMANI MAGOGONI!
Unakumbuka tarehe 17.03.2021 Makamu wa Rais (wakati huo) SSH anatoa taarifa ya kifo cha Rais Magufuli?
Uliona nini kwenye sura yake?.....
#Tushuke.
YASIYOSEMWA KIFO CHA MAGUFULI, CDF MABEYO KIKWAZO, FISI WALIITAMANI MAGOGONI!
Unakumbuka tarehe 17.03.2021 Makamu wa Rais (wakati huo) SSH anatoa taarifa ya kifo cha Rais Magufuli?
Uliona nini kwenye sura yake?.....
#Tushuke.
MAGUFULI ANUNUA MASHINE YA KUDHIBITI MAPIGO YA MOYO KWA BIL 4.5 JKCI
Dr. Kisenge (Video chini) Machi 2020, jitihada za serikali kununua mtambo ambao unapachika betri (Pacemaker) kwa wagonjwa wa tatizo la umeme wa moyo. (AFiB)
N.B: #JPM ni mhanga wa tatizo hilo wakati huo wote!
Dr. Kisenge (Video chini) Machi 2020, jitihada za serikali kununua mtambo ambao unapachika betri (Pacemaker) kwa wagonjwa wa tatizo la umeme wa moyo. (AFiB)
N.B: #JPM ni mhanga wa tatizo hilo wakati huo wote!
Nini hutokea #Pacemaker ikifeli?
Betrii inapofeli, asilimia za kupata stroke huongezeka mara tano zaidi na hatari ya kifo kutokana na cardiac arrest huongezeka zaidi.
Hii hutokana na mapigo ya moyo kutokuaa under control tena.
Chronic AFiB maana yake inaweza last hata wiki+
Betrii inapofeli, asilimia za kupata stroke huongezeka mara tano zaidi na hatari ya kifo kutokana na cardiac arrest huongezeka zaidi.
Hii hutokana na mapigo ya moyo kutokuaa under control tena.
Chronic AFiB maana yake inaweza last hata wiki+
UANAJESHI WA CDF MABEYO KAZINI!
Baada ya kuufahamu ugonjwa, turudi kwenye statement za CDF Mabeyo.
"Mzena tuli-limit watu ili apate kupumzika vizuri" -CDF
Kiuhalisia ni kwamba ilifanyika security upgrade kwa Hayati #JPM sababu Mzena ulinzi ni wa hali ya juu kuliko JKCI.
Baada ya kuufahamu ugonjwa, turudi kwenye statement za CDF Mabeyo.
"Mzena tuli-limit watu ili apate kupumzika vizuri" -CDF
Kiuhalisia ni kwamba ilifanyika security upgrade kwa Hayati #JPM sababu Mzena ulinzi ni wa hali ya juu kuliko JKCI.
TULIKUWA WATATU, WAKATI #JPM ANAKUTWA NA MAUTI.
CDF, IGP & DGIS walikuwepo wakati Amiri Jeshi Mkuu (wakati huo) anaaga dunia.
CDF kama Mwenyekiti wa wakuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama anaamua kuchagua KATIBA inasemaje!
Inaleta MAJADILIANO kadhaa....
CDF, IGP & DGIS walikuwepo wakati Amiri Jeshi Mkuu (wakati huo) anaaga dunia.
CDF kama Mwenyekiti wa wakuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama anaamua kuchagua KATIBA inasemaje!
Inaleta MAJADILIANO kadhaa....
MAMA ANAPEWA TAARIFA, ATANGAZE MSIBA!
Akiwa Tanga, anahutubia kupitia TBC kuwa Rais Magufuli amefariki na alilazwa tangu Machi 6.
Ukimtazama sura ya #Mama wakati anahutubia, unajiuliza maswali mengi.
Ni lini alifahamu taarifa hiyo....
AFiB inajulikana, pacemaker ikifeli.
Akiwa Tanga, anahutubia kupitia TBC kuwa Rais Magufuli amefariki na alilazwa tangu Machi 6.
Ukimtazama sura ya #Mama wakati anahutubia, unajiuliza maswali mengi.
Ni lini alifahamu taarifa hiyo....
AFiB inajulikana, pacemaker ikifeli.
CDF NA ULINZI KWA RAIS SAMIA TANGA
Mkuu wa Majeshi, anawajibika moja kwa moja, na ulinzi wa Rais-Mtarajiwa.
Jeshini hakunaga ku-assume suala la ulinzi.
#SSH akiwa Rais Mtarajiwa (kabla hajaapishwa) ulinzi wake unaimarishwa zaidi na CDF.
CDF Mabeyo adressed the matter!
Mkuu wa Majeshi, anawajibika moja kwa moja, na ulinzi wa Rais-Mtarajiwa.
Jeshini hakunaga ku-assume suala la ulinzi.
#SSH akiwa Rais Mtarajiwa (kabla hajaapishwa) ulinzi wake unaimarishwa zaidi na CDF.
CDF Mabeyo adressed the matter!
جاري تحميل الاقتراحات...