Kuja kwake Loliondo hata siku moja kunasababisha Hatari kwa maelfu ya watu? Kuna wakati utu uzidi vyote! Imefika wakati tuseme Kama ni mateso tumeteseka na Kama Ni dhuluma timedhulumiwa vya kutosha ! Jamii hatuwezi kuangamia kwasababu ya kajitu limoja ! #utu
Loading suggestions...