A strange thing after one hour
Majambazi hawa wakarejea tena eneo la tukio ili kujihakikishia Je Hakukuwa na mtu aliyewaona.
Kisha baada ya kujihakikishia hakuna mtu aliyewaona, wakaamua kwenda night club huko wakanywa na kugonga cheers bila hofu.
It seems normal to them👇
Majambazi hawa wakarejea tena eneo la tukio ili kujihakikishia Je Hakukuwa na mtu aliyewaona.
Kisha baada ya kujihakikishia hakuna mtu aliyewaona, wakaamua kwenda night club huko wakanywa na kugonga cheers bila hofu.
It seems normal to them👇
Yake akiwa amekwenda kutafuta vibarua ndani ya jiji la DURBAN.
Dube akiwa na bibi yake, alipambana mara zote ili kuhakikisha analeta kitu nyumbani.
Alikuwa na tabia akitoka shule anapitia kwa bosi wake, ambao ndio hao mnawaita makaburu.
Siku hiyo alivyo fika kwa bosi👇
Dube akiwa na bibi yake, alipambana mara zote ili kuhakikisha analeta kitu nyumbani.
Alikuwa na tabia akitoka shule anapitia kwa bosi wake, ambao ndio hao mnawaita makaburu.
Siku hiyo alivyo fika kwa bosi👇
alishangaa anaitwa sebuleni, ni ajabu miaka hiyo mtu mweusi ulikuwa huwezi kukaa sehemu moja na wazungu.
Zaidi ni hapo South Africa sababu bado walikuwa wametawaliwa na makaburu.
Alipofika sebuleni akaambiwa atoke, DUBE akatoka.
Kisha zikapita kama dakika10 👇
Zaidi ni hapo South Africa sababu bado walikuwa wametawaliwa na makaburu.
Alipofika sebuleni akaambiwa atoke, DUBE akatoka.
Kisha zikapita kama dakika10 👇
Dube aliitwa tena aende sebuleni alipofika alionyeshwa waya mbili za umeme ambazo zilikuwa zimekatwa.
Akaambiwa aishike moja na nyingine kisha akaambiwa azigusanishe, Dube alifanya ivyo.
Kilichotokea Dube alirushwa na umeme mkali uliokuwa kwenye waya hizo, alidondoka chini👇
Akaambiwa aishike moja na nyingine kisha akaambiwa azigusanishe, Dube alifanya ivyo.
Kilichotokea Dube alirushwa na umeme mkali uliokuwa kwenye waya hizo, alidondoka chini👇
Hizi ni nyakati ngumu kwa LUCKY DUBE kwani japo alijiunga katika kundi hilo lakini maisha bado yalimpiga.
Alijihudumia kila kitu mwenyewe na niwakati huu pia ndio wakati ambao alipaswa kumsaidia mama yake na bibi yake nyumbani..
Mama alirudi nyumbani baada ya👇
Alijihudumia kila kitu mwenyewe na niwakati huu pia ndio wakati ambao alipaswa kumsaidia mama yake na bibi yake nyumbani..
Mama alirudi nyumbani baada ya👇
ya Dube ilianza kuwaka.
Na nyakati hizi ndizo alizohamia kwenye mji wa Johannesburg rasmi.
Akawa anatoa nyimbo za ukombozi, kutetea haki za watu.
Kuna siku askari wa kikaburu walimvamia na kumpiga virungu bila sababu.👇
Na nyakati hizi ndizo alizohamia kwenye mji wa Johannesburg rasmi.
Akawa anatoa nyimbo za ukombozi, kutetea haki za watu.
Kuna siku askari wa kikaburu walimvamia na kumpiga virungu bila sababu.👇
LUCKY DUBE taa yake ikazidi kumulika na mara hii hakutaka kabisa kutumia lugha ya kizulu katika nyimbo zake.
Na badala yake akatumia Lugha ya kiingereza moja kwa moja ili nyimbo zake zisikilizwe duniani kote na si South Africa pekee.
Ni kama alivyo taka....👇
Na badala yake akatumia Lugha ya kiingereza moja kwa moja ili nyimbo zake zisikilizwe duniani kote na si South Africa pekee.
Ni kama alivyo taka....👇
Dube alijitengenezea utofauti fulani katika uimbaji wake..
Ni zile sauti za wanawake waliosikika mara kwa mara wakiimba Choruses kwenye nyimbo za DUBE ni wanawake watatu ambao uongozi wa Dube uliwaita...
"Mothers of Soweto which never sleeps"
Yaani wamama wa Soweto ambao👇
Ni zile sauti za wanawake waliosikika mara kwa mara wakiimba Choruses kwenye nyimbo za DUBE ni wanawake watatu ambao uongozi wa Dube uliwaita...
"Mothers of Soweto which never sleeps"
Yaani wamama wa Soweto ambao👇
Mwaka 1991, alitembea nchi tofauti.
Kupitia nyimbo zake alichukuliwa Kama mtu anayetangaza amani, upendo na kuoneana huruma Utu.
Alikwenda Japan na Australia, alikuwa akihitajika kama source ya kuwaliwaza watu au ufunguzi juu ya taasisi ama tamasha la kitaifa.👇
Kupitia nyimbo zake alichukuliwa Kama mtu anayetangaza amani, upendo na kuoneana huruma Utu.
Alikwenda Japan na Australia, alikuwa akihitajika kama source ya kuwaliwaza watu au ufunguzi juu ya taasisi ama tamasha la kitaifa.👇
DUBE akaendelea kusonga mbele kwa bidii zaidi, hakika aliushangaza ulimwengu.
Mwaka 1992, Dube alikuwa Mwafrika Kusini wa kwanza kufanya show kwenye tamasha la Sunsplash nchini Jamaica.
Wapo wa Jamaica waliosema Dube ana asili ya Jamaica huku wa Zimbabwe nao👇
Mwaka 1992, Dube alikuwa Mwafrika Kusini wa kwanza kufanya show kwenye tamasha la Sunsplash nchini Jamaica.
Wapo wa Jamaica waliosema Dube ana asili ya Jamaica huku wa Zimbabwe nao👇
Dube aliendelea kuachia nyimbo kila kukicha, ila mwishoni mwa 1993 matukio ya uhalifu yalikuwa mengi sana South Africa.
Watu walikuwa wakidai uhuru dhidi ya mkaburu aliyekuwa hataki kubanduka ndani ya nchi hiyo.
Ila katika kudai uhuru huo watu walipiga pesa na zaidi👇
Watu walikuwa wakidai uhuru dhidi ya mkaburu aliyekuwa hataki kubanduka ndani ya nchi hiyo.
Ila katika kudai uhuru huo watu walipiga pesa na zaidi👇
Ni watu weusi wenyewe kwa wenyewe waliibiana na kupelekea wengine mpaka kupoteza uhai wao.
Raia walimiliki silaha kiholela holela, jambo lililofanya mauaji kutokea kila kukicha.
Uhalifu, madawa ya kulevya na wizi wa silaha ulitawala South Africa.
Aggravated crime.👇
Raia walimiliki silaha kiholela holela, jambo lililofanya mauaji kutokea kila kukicha.
Uhalifu, madawa ya kulevya na wizi wa silaha ulitawala South Africa.
Aggravated crime.👇
Anazungumzia maisha yake yote jinsi alivyo muona mzungu ni adui yake.
Lakini baada ya kuona matukio ya mauaji kila kukicha, tena weusi kwa weusi yaani wao kwa wao.
hapo akagundua..
Kwamba hakujua hata mtu mweusi aliyehisi ni ndugu yake kumbe anaweza kumuua, au👇
Lakini baada ya kuona matukio ya mauaji kila kukicha, tena weusi kwa weusi yaani wao kwa wao.
hapo akagundua..
Kwamba hakujua hata mtu mweusi aliyehisi ni ndugu yake kumbe anaweza kumuua, au👇
Kumfanyia uhalifu.
Not every black man is my brother
Not every white man is my enemy
Dube anaandika tena katika wimbo uliobeba jina la album hiyo Trinity
Katika nyimbo ya Trinity Dube anaandika kwa kumuunga mkono Mandela juu ya kumsamehe mkaburu..
kwamba👇
Not every black man is my brother
Not every white man is my enemy
Dube anaandika tena katika wimbo uliobeba jina la album hiyo Trinity
Katika nyimbo ya Trinity Dube anaandika kwa kumuunga mkono Mandela juu ya kumsamehe mkaburu..
kwamba👇
Mkaburu baada ya kusamehewa, asilale na bunduki yake mkononi, akidhani perhaps waafrika kusini wanaweza kumvizia na kumuua.
Awe na amani
Mwafrika kusini atamfuata mkaburu ili kujifunza kuhusu watu weupe na mkaburu atamfuata mwafrika kusini kujifunza kuhusu watu weusi.
Dube👇
Awe na amani
Mwafrika kusini atamfuata mkaburu ili kujifunza kuhusu watu weupe na mkaburu atamfuata mwafrika kusini kujifunza kuhusu watu weusi.
Dube👇
anasisitiza we'll unite" tutaungana" kwamba licha ya yoote yaliyotokea bado wanapaswa kuwa kitu kimoja.
Maisha yakasonga lakini matukio ya uhalifu bado hayakukoma nchini South Africa.👇
Maisha yakasonga lakini matukio ya uhalifu bado hayakukoma nchini South Africa.👇
Mmoja aliwahi kuniambia, Lucky Dube ni dirasa, ni somo na pia ni shule kubwa watu wanapaswa kujifunza kupitia nyimbo zake.
Sikuwahi kumuelewa Mzee yule ila sasa ninayakumbuka maneno yake na ninayaelewa maneno yake...
Miaka ikasonga.. na ilipofila mwaka 2000👇
Sikuwahi kumuelewa Mzee yule ila sasa ninayakumbuka maneno yake na ninayaelewa maneno yake...
Miaka ikasonga.. na ilipofila mwaka 2000👇
Siku ya tar 18/10/2007 maisha ya LUCKY DUBE yakakatizwa kwa namna ya ajabu sana..
Yaani ghafla majambazi yakatokea na kummiminia risasi, kisha majambazi yakaondoka na baadae yakarudi tena eneo la tukio eti kuhakikisha kama hayakuonekana.
Perhaps hili ndilo kosa kubwa👇
Yaani ghafla majambazi yakatokea na kummiminia risasi, kisha majambazi yakaondoka na baadae yakarudi tena eneo la tukio eti kuhakikisha kama hayakuonekana.
Perhaps hili ndilo kosa kubwa👇
Everything you read in this story highlights the truth of LUCKY DUBE's life, his hustles, his fame to the truth of his death.
Stay safe kwa ground mambo ni mengi sana🙏
Usiache kunifollow as @wisdomjaykwa #wisdomjaykwa
End of the first Ep, Ep 02 itaendelea....
Stay safe kwa ground mambo ni mengi sana🙏
Usiache kunifollow as @wisdomjaykwa #wisdomjaykwa
End of the first Ep, Ep 02 itaendelea....
Loading suggestions...