nyumbani ikaanza, wakiwa njiani ghafla kijana mmoja anawakimbilia na kumuita kaka wa RONALDINHO.
"Roberto!! Roberto!! Baba yako amedondoka"
Nitaarifa zisizo nzuri kwa ROBERTO na mdogo wake RONALDINHO, hii ni siku waliyompoteza baba yao, Ni baada ya baba kupatwa naπ
"Roberto!! Roberto!! Baba yako amedondoka"
Nitaarifa zisizo nzuri kwa ROBERTO na mdogo wake RONALDINHO, hii ni siku waliyompoteza baba yao, Ni baada ya baba kupatwa naπ
na kumulika pande zote za dunia.
Ukawa ni wakati mzuri kwa RONALDINHO Alianza kupata mafanikio makubwa kupitia mpira.
Kaka yake ROBERTO akiwa kama wakala wake alihakikisha mara zote anakuwa karibu na RONALDINHO ili ikiwa kuna changamoto anapitia aweze kufahamu.π
Ukawa ni wakati mzuri kwa RONALDINHO Alianza kupata mafanikio makubwa kupitia mpira.
Kaka yake ROBERTO akiwa kama wakala wake alihakikisha mara zote anakuwa karibu na RONALDINHO ili ikiwa kuna changamoto anapitia aweze kufahamu.π
na wachezaji na kila mtu alitamani kuwa karibu naye, Rafiki yake mkubwa alikuwa ni SAMUEL ETO'O
RONALDINHO Wakati wote huo alikuwa akivutiwa na kijana mmoja aliyemuona akifanya mazoezi kwenye matawi ya Barcelona C na B na mwisho RONALDINHO akalazimisha kijana huyo aungweπ
RONALDINHO Wakati wote huo alikuwa akivutiwa na kijana mmoja aliyemuona akifanya mazoezi kwenye matawi ya Barcelona C na B na mwisho RONALDINHO akalazimisha kijana huyo aungweπ
Taa ya RONALDINHO iliyowaka na kumulika duniani kote ilianza kuwa hafifu
Akacheza kwenye Club ya QuerΓ©taro na club ya Fluminense
Mwaka 2015 alirudi rasmi Brazil na kuendeleza maisha yake ya kisoka hapo, sijui kilitokea kitu gani ila yeye na mkewake JANAΓNA wakaachana
Na maraπ
Akacheza kwenye Club ya QuerΓ©taro na club ya Fluminense
Mwaka 2015 alirudi rasmi Brazil na kuendeleza maisha yake ya kisoka hapo, sijui kilitokea kitu gani ila yeye na mkewake JANAΓNA wakaachana
Na maraπ
Muwekezaji wa hovyo.
Sehemu nyingi alizowekeza zikagundulika ni hifadhi za wanyama na maeneo ya serikali, RONALDINHO akatolewa akili kwa kuitwa mla unga na mpenda wanawake.
Nchi yake mwenyewe ikaanza kumkaanga, kila mtaa wa Brazil ulikuwa ukizungumza mabaya ya RONALDINHOπ
Sehemu nyingi alizowekeza zikagundulika ni hifadhi za wanyama na maeneo ya serikali, RONALDINHO akatolewa akili kwa kuitwa mla unga na mpenda wanawake.
Nchi yake mwenyewe ikaanza kumkaanga, kila mtaa wa Brazil ulikuwa ukizungumza mabaya ya RONALDINHOπ
Siku moja kupigiwa simu Sehemu ya uwekezaji wake nyingine imezuiliwa, baada ya serikali kubaini wamekata msitu wa asiri na kumiliki sehemu hiyo bila leseni.
Walipofika la tukio yeye na kaka yake ROBERTO wakashindwa kuelewana na maafisa wa serikali wakaleta mzozo mwishoπ
Walipofika la tukio yeye na kaka yake ROBERTO wakashindwa kuelewana na maafisa wa serikali wakaleta mzozo mwishoπ
wakanyan'nywa passport zao na kupewa kesi ya kuwapiga maafisa wa serikali "beating government officials"
Mzigo ukaongezeka kesi ya madai ya mali na kesi ya kuwapiga maafisa wa serikali na bado maeneo yake yakazuiliwa na zaidi hawawezi kutoka nje ya nchi
Mwishoni mwa 2019π
Mzigo ukaongezeka kesi ya madai ya mali na kesi ya kuwapiga maafisa wa serikali na bado maeneo yake yakazuiliwa na zaidi hawawezi kutoka nje ya nchi
Mwishoni mwa 2019π
Lakini pia RONALDINHO alipewa fulsa ya kutangaza kitabu chake kipya katika nchi hiyo ya PARAGUAY.
Baada ya kumaliza majambo yao yote, RONALDINHO na Ndugu yake wakawa tayari kwa kujiandaa ili kurudi Brazil na ndipo wanasikia mrango unagongwa mara maafisa kadhaa wakaingiaπ
Baada ya kumaliza majambo yao yote, RONALDINHO na Ndugu yake wakawa tayari kwa kujiandaa ili kurudi Brazil na ndipo wanasikia mrango unagongwa mara maafisa kadhaa wakaingiaπ
Wa kiume anayetamani siku moja awe kama baba yake.
Perhaps siku moja atakuwa mchezaji mkubwaπͺ Yapo mengi ila haya ni machache kutoka kwa RONALDINHO GAOCHO
Stay safe kwa ground mambo ni mengi sanaπ
Usiache kunifollow as @wisdomjaykwa #wisdomjaykwa
Perhaps siku moja atakuwa mchezaji mkubwaπͺ Yapo mengi ila haya ni machache kutoka kwa RONALDINHO GAOCHO
Stay safe kwa ground mambo ni mengi sanaπ
Usiache kunifollow as @wisdomjaykwa #wisdomjaykwa
Loading suggestions...