๐๐ถ๐ป๐๐ถ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฎ๐ธ๐ฎ๐๐ป๐๐ถ ๐บ๐ฏ๐ถ๐น๐ถ ๐๐ฎ ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ ๐ธ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐๐ถ๐บ๐ ๐บ๐ผ๐ท๐ฎ
Hivi unajua unaweza tumia simu moja kutengeneza akaunti mbili za Whatsapp bila kupakua app, sio lazima huwe na Gb Whatsapp pamoja na normal Whatsapp
Uzi huu wako๐
Hivi unajua unaweza tumia simu moja kutengeneza akaunti mbili za Whatsapp bila kupakua app, sio lazima huwe na Gb Whatsapp pamoja na normal Whatsapp
Uzi huu wako๐
Najua nikisema hivyo basi mtu hatajibu kuwa naweka Whatsapp gb pamoja na normal Whatsapp au Whatsapp business pamoja na normal Whatsapp ๐ hapana sio ivyo !!
Relax we fanya ku retweet kisha like tuendelee na story si unajua teknolijia ni Yetu sote ๐
#bongotech255
Relax we fanya ku retweet kisha like tuendelee na story si unajua teknolijia ni Yetu sote ๐
#bongotech255
๐ปINFINIX
watumiaji wa Infinix fanya hivi ingia setting kisha search >>> xclone utaona Kuna Fb , Insta , Whatsapp nk utachagua unayotaka.
๐ปSAMSUNG
Watumiaji wa Samsung Sasa fanya hivi ingia setting >> advance feature >>dual messenger >> chagua app yako kisha utaweza kuzigawa.
watumiaji wa Infinix fanya hivi ingia setting kisha search >>> xclone utaona Kuna Fb , Insta , Whatsapp nk utachagua unayotaka.
๐ปSAMSUNG
Watumiaji wa Samsung Sasa fanya hivi ingia setting >> advance feature >>dual messenger >> chagua app yako kisha utaweza kuzigawa.
๐ปONE PLUS
Watumiaji wa One plus fanya hivi ingia setting >> utilities >> parallel apps utachagua app yako unayotakaโ
๐ปRedmi
Kama unatumia Redmi fanya hivi ingia setting dual app alafu tafuta yako unayotaka.
Watumiaji wa One plus fanya hivi ingia setting >> utilities >> parallel apps utachagua app yako unayotakaโ
๐ปRedmi
Kama unatumia Redmi fanya hivi ingia setting dual app alafu tafuta yako unayotaka.
๐ปRealme
Realme Sasa fanya hivi ingia setting kisha app management malizia kwa kubonyeza app cloner chagua app yako.
๐ปTECNO ๐
Kama hujaona setting hizi kwenye simu yako basi unaweza kutumia app mbalimbali kama vile dual space , parallel space kwenye soko la play store
Realme Sasa fanya hivi ingia setting kisha app management malizia kwa kubonyeza app cloner chagua app yako.
๐ปTECNO ๐
Kama hujaona setting hizi kwenye simu yako basi unaweza kutumia app mbalimbali kama vile dual space , parallel space kwenye soko la play store
Loading suggestions...