๐ง๐ฎ๐ฏ๐ถ๐ฎ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ฎ๐ต๐ฎ๐ ๐ฝ๐ฎ๐๐๐๐ผ๐ฟd
Watu wengi hawajui kuwa ๐๐ผ๐ผ๐ด๐น๐ฒ ๐ฐ๐ต๐ฟ๐ผ๐บ๐ฒ wamekua wakituhifadhia password zetu toka tuanze kutumia simu. Google ni kivinjari pendwa ulimwenguni kimekua kikitumika sana Kwenye vifaa vyetu
Like & retweet ๐ซฃ tuendelee na story
Watu wengi hawajui kuwa ๐๐ผ๐ผ๐ด๐น๐ฒ ๐ฐ๐ต๐ฟ๐ผ๐บ๐ฒ wamekua wakituhifadhia password zetu toka tuanze kutumia simu. Google ni kivinjari pendwa ulimwenguni kimekua kikitumika sana Kwenye vifaa vyetu
Like & retweet ๐ซฃ tuendelee na story
Kupitia ๐๐ผ๐ผ๐ด๐น๐ฒ ๐ฐ๐ต๐ฟ๐ผ๐บ๐ฒ pia wakati unajiunga na mitandao yako ya kijamii huwa Wana kuhifadhia password yako bila wewe kujua kuanzia kwenye website ulizotembelea, social media pamoja na app mbalimbali zilizokuwa kwenye simu.
Retweet bhana tujifunze wengi ๐
Retweet bhana tujifunze wengi ๐
Ikitokea Umesahau password zako za mitandao ya kijamii au sehemu mbalimbali basi kupitia Google chrome fanya hivi ๐
๐ปKwa watumiaji wa simu za ๐ฎ๐ป๐ฑ๐ฟ๐ผ๐ถ๐ฑ & ๐ถ๐ฝ๐ต๐ผ๐ป๐ฒ ingia kwenye google chrome kisha
โข ingia setting alafu >> password manager
โข chsgua account unayotaka ku view password
โข ukitaka kujua password ya social utaweka pin ya simu yako utaweza kuona password zako zote
โข ingia setting alafu >> password manager
โข chsgua account unayotaka ku view password
โข ukitaka kujua password ya social utaweka pin ya simu yako utaweza kuona password zako zote
๐ปKupata ๐ฝ๐ฎ๐๐๐๐ผ๐ฟ๐ฑ kwenye ๐ธ๐ผ๐บ๐ฝ๐๐๐๐ฎ ingia kwenye google chrome kisha
โข ingia setting kwenye google chrome
โข chagua Autofil kisha password
โข utaweza kuona password zako zote ulizosave kwenye google chrome
โข bonyeza kwenye Eye icon kuweza kutizama password
โข ingia setting kwenye google chrome
โข chagua Autofil kisha password
โข utaweza kuona password zako zote ulizosave kwenye google chrome
โข bonyeza kwenye Eye icon kuweza kutizama password
Utakua na uwezo wa ku copy , paste, ku editi na ku remove password yako ukihitaji.hii ndo njia ambayo utaweza kupata access ya password zako zote za mitandao ya kijamii au sehemu mbalimbali ikiwa umesahau
๐๐๐บ๐ฏ๐๐ธ๐ฎ โ๏ธ
Sio lazima kila wakati u reset password kwenye social media kupitia Google chrome utaweza kuziona password zako zote ๐
ulikua unajua hii au ndo tunakujuza tuachie maoni yako?
#bongotech255
Sio lazima kila wakati u reset password kwenye social media kupitia Google chrome utaweza kuziona password zako zote ๐
ulikua unajua hii au ndo tunakujuza tuachie maoni yako?
#bongotech255
Loading suggestions...