FAHAMU MADINI YA ALMAS đź’Ž UTAJIRI & VITA YAKE
#Uzi:
đź“‹Asili yake
đź“‹Historia yake
đź“‹Mgunduzi wake
đź“‹Aina & Thamani yake
đź“‹Vita yake duniani na Tanzania
📋🇹🇿 iligunduliwa lini na nani, wapi
đź“‹DE BEERS & Msukuma wa Williamson DIAMONDS, aliyeipenda Mwadui hakuna wa mfano wake!!
🔄👇
#Uzi:
đź“‹Asili yake
đź“‹Historia yake
đź“‹Mgunduzi wake
đź“‹Aina & Thamani yake
đź“‹Vita yake duniani na Tanzania
📋🇹🇿 iligunduliwa lini na nani, wapi
đź“‹DE BEERS & Msukuma wa Williamson DIAMONDS, aliyeipenda Mwadui hakuna wa mfano wake!!
🔄👇
Leo nimechagua kuzungumzia Maliasili za Taifa🇹🇿
#Maliasili ni vitu vinavyotokana na maumbile. MFANO:Wanyama, Misitu, Madini n.k kama ulikuwa hufahamu maliasili za nchi huchangia ktk utajiri wa nchi husika.Mojawapo ni South Africa, imenawiri kiuchumi kutokana na utajiri wa madini
#Maliasili ni vitu vinavyotokana na maumbile. MFANO:Wanyama, Misitu, Madini n.k kama ulikuwa hufahamu maliasili za nchi huchangia ktk utajiri wa nchi husika.Mojawapo ni South Africa, imenawiri kiuchumi kutokana na utajiri wa madini
Nafahamu ulishawahi kujiuliza, Almasi ni nini? Iko iko je? au Almasi zinatengenezwa na nini?
LEO nakupa Jibu:
#ALMASI: Ni kito Adimu chenye thamani kubwa sana Duniani. Kito hiki ni kigumu sana kushinda Metali au madini yote Duniani. Asili yake hutengenezwa na Carbon (C) 99.95%
LEO nakupa Jibu:
#ALMASI: Ni kito Adimu chenye thamani kubwa sana Duniani. Kito hiki ni kigumu sana kushinda Metali au madini yote Duniani. Asili yake hutengenezwa na Carbon (C) 99.95%
#Almasi hutumiwa ktk teknolojia mbalimbali. MFANO: Ktk vyombo vya kukata vitu vigumu au keekee za kutoboa mwamba wkt wa kutafuta mafuta ya Petroli, vyote hutumia vipande vya đź’Ž.
Almasi asili haina rangi ni Colourless Lkn chache sana naomba zenye rangi za njano, buluu au nyekundu.
Almasi asili haina rangi ni Colourless Lkn chache sana naomba zenye rangi za njano, buluu au nyekundu.
Almasi hutengenezwa wkt Carbon imewekwa chini ya shinikizo (pressure) paundi 725,000 kila inchi ya mraba na kwa joto la kati ya nyuzi 900 hadi 1,300
#Unaambiwa jiwe lingine pekee la thamani kwenye sayari ya dunia linaloweza ku-crystallize chini ya hali sawa na hii ni #Peridot tu
#Unaambiwa jiwe lingine pekee la thamani kwenye sayari ya dunia linaloweza ku-crystallize chini ya hali sawa na hii ni #Peridot tu
Baada ya kujitengeneza kwa miaka takribani Bilioni moja mpaka Bilioni 3.4 hubebwa na uji uji ktk milipuko ya ndani ya Volcano na kisha hukusanyika kwenye maeneo (fissures/faults) ya miamba Tabaka (Igneous rocks) iitwayo #Kimberlite na #Lamproites.
Mpaka Almasi kuonekana ktk uso wa dunia ni aidha kwa nguvu ya kiasili au kwa kuchimbwa na mwanadamu kwa kutumia vifaa mbalimbali ktk uso wa dunia. Ikishachimbwa husafishwa na kisha hukatwa mpaka ambapo mng'ao wake asili huonekana.
Hivyo wewe unayesoma #Uzi huu hapa ninakufahamisha kwamba sio kila Almasi unayoiona imechimbwa migodini, zingine hutengenezwa na binadamu na zinazofaa pia kwa mapambo.
Kampuni kubwa duniani ya kuchimba almasi ni @DeBeers iliyopo nchini Afrika Kusini.
DE BEERS ni wanamiliki migodi mikubwa Botswana, South Africa, Angola pia walikuwa wamiliki mgodi wa MWADUI hapa 🇹🇿 kwa sasa wamiliki ni @Petra_Diamonds wanaosadikiwa kuwa ni kampuni la DE BEERS.
DE BEERS ni wanamiliki migodi mikubwa Botswana, South Africa, Angola pia walikuwa wamiliki mgodi wa MWADUI hapa 🇹🇿 kwa sasa wamiliki ni @Petra_Diamonds wanaosadikiwa kuwa ni kampuni la DE BEERS.
Mwanzoni mwa miaka ya 1900, kampuni ya madini ya @debeersgroup ilidhibiti karibu asilimia 90 ya uzalishaji wa madini ya Almasi ambayo haijakatwa (rough diamonds) duniani.
Kama unasoma #Uzi hebu toa pongezi ya heshima De Beers sio kwa kuthubutu huko.
Kama unasoma #Uzi hebu toa pongezi ya heshima De Beers sio kwa kuthubutu huko.
HISTORIA YA ALMAS
Almasi ina historia ndefu sana kama kito kizuri cha thamani
Historia yake inaanza ktk karne ya 01 BK Mwanahistoria (Italy) #Pliny alisema: "Almas ni kito cha Thamani zaidi, sio tu cha thamani ktk mawe, lakini ni kito cha thamani kuliko vitu vyote ulimwenguni."
Almasi ina historia ndefu sana kama kito kizuri cha thamani
Historia yake inaanza ktk karne ya 01 BK Mwanahistoria (Italy) #Pliny alisema: "Almas ni kito cha Thamani zaidi, sio tu cha thamani ktk mawe, lakini ni kito cha thamani kuliko vitu vyote ulimwenguni."
Wakati wake ktk Jeshi ilikuwa ni lazima asafiri huku anaandika mambo mbalimbali, MFANO: Uchimbaji Madini ya Dhahabu huko Uingereza na ktk mabara ya Afrika na Asia.
#PLINY_THE_ELDER aliandika vitabu vingi sana na ni moja watu mahiri wa Philosophy na semi na alisomea pia sheria.
#PLINY_THE_ELDER aliandika vitabu vingi sana na ni moja watu mahiri wa Philosophy na semi na alisomea pia sheria.
Kitabu chake "Historia ya Asili" (Historia Naturalis) ni moja ya kazi zake za kushangaza, ambacho kina masomo kama vile Unajimu (Astronomy), Elimu ya viumbe (Zoology), Mimea (Bontany), Dawa za matibabu na Madini (Mineralogy).
IKIWA Unasoma #Uzi huu nikuombe support kwa 🔄 yako
IKIWA Unasoma #Uzi huu nikuombe support kwa 🔄 yako
Baada ya kukaa kwa muda mrefu akisoma na kuona mlipuko wa volkano alifunikwa na majivu na gesi zenye sumu na alikutwa amekufa mnamo Agosti 26 79 AD baada ya kutawanyika kwa majivu yaliyokuwa yamefunika eneo lote.
RT @balozi_twita @omari_manyama @msangijeff @MabalaMakengeza Up👆
RT @balozi_twita @omari_manyama @msangijeff @MabalaMakengeza Up👆
Sehemu ya historia ya maisha ktk masaa ya mwisho ya PLINY iliandikwa na mdogo wake na ilitumwa kwa barua kwenda kwa Mfalme TACITUS miaka 27 baada ya tukio hilo.
#Pliny_The_Elder bado anakumbukwa ktkTopic ya volcanism ambapo neno #Plinian humaanisha mlipuko mkali wa Volkano.
#Pliny_The_Elder bado anakumbukwa ktkTopic ya volcanism ambapo neno #Plinian humaanisha mlipuko mkali wa Volkano.
Almasi iliyotoka India ilikuwa za thamani sana ktk masoko ya magharibi huko Ulaya na kufikia miaka ya 1400, ilikuwa kitu cha thamani kwa matajiri ulaya. Mwanzoni mwa 1700's, upatikanaji Almasi ya India kulianza kupungua na Brazil iliibuka ktk soko na kitovu cha Almasi Duniani
Baadae soko la almasi lilibadilika baada ya watawala na watumiaji wakubwa wa almasi kupungua mwishoni mwa miaka ya 1700. Mapinduzi ya kisiasa mfano mapinduzi ya Ufaransa yalipelekea mabadiliko makubwa katika upatikanaji wa utajiri huu.
Stori ya soko la kisasa la Almasi huanzia kabisa ktk Bara la Afrika, ambapo ugunduzi wa Almasi ulifanyika mnamo 1866 huko Kimberley, nchini Afrika Kusini.
Mfanyabiashara Mkoloni CECIL RHODES alianzisha kampuni ya @DeBeers Consolidated Mines Limited miaka 22 baadaye, mnamo 1888.
Mfanyabiashara Mkoloni CECIL RHODES alianzisha kampuni ya @DeBeers Consolidated Mines Limited miaka 22 baadaye, mnamo 1888.
DE BEERS ilibidilika kuendana na soko, ikawa haifanani kabisa na De Beers ya 1989, ikapunguza sana usambazaji wa almasi, badala ya kujikita ktk kila soko.
#Tofauti na miaka ya nyuma, kwa sasa madini ya Almasi yapatikana kwenye masoko mengi kutoka sehemu mbalimbali duniani.
#Tofauti na miaka ya nyuma, kwa sasa madini ya Almasi yapatikana kwenye masoko mengi kutoka sehemu mbalimbali duniani.
Ingawa sio kila kitu kilibadilika, lkn bila kujali ni njia gani watu hutumia kupata madini haya sokoni bado Almasi iliyo bora zaidi huchimbwa migodini, na kisha kupitishwa kwenye vituo vya kukatia ndipo huwafikia wateja rejareja.
Kito hiki kimekuwa cha thaman sana kwa karne nyingi, Lkn zaman wachimbaji hawakuwa na maarifa makubwa juu yake.Tangu karne ya 20 elimu juu ya Almasi imekua kwa kasi kutokana na tafiti zilizofanywa na wakemia, wanafizikia, wanajiolojia,wataalamu wa madini na wanahistoria wa bahari
UBORA, THAMANI & AINA ZA ALMASIđź’Ž
Kipengele hiki ni kikubwa sana inahitaji Almost siku 3 ili nikielezee vizuri kwa ufasaha. Hivyo nitaomba niandae #Uzi mpya kwa ajili yake lkn nitagusia vichache kukupa muangaza ktk soko la madini haya ambayo pia yameipatia Belgium utajiri mkubwa
Kipengele hiki ni kikubwa sana inahitaji Almost siku 3 ili nikielezee vizuri kwa ufasaha. Hivyo nitaomba niandae #Uzi mpya kwa ajili yake lkn nitagusia vichache kukupa muangaza ktk soko la madini haya ambayo pia yameipatia Belgium utajiri mkubwa
Katika ulimwengu wa vito, watu walio wengi wameajiriwa katika uchimbaji wa madini hasa ktk ukataji wa Almasi kuliko kwa jiwe lingine lolote duniani. Upangaji wa ubora wa thamani ya almasi ni muhimu sana, lkn unategemea mfumo thabiti wa upangaji ili kulinda bei nzuri ya Almasi.
Taasisi ya Gemological Institute of America @GIAnews ndio ya kwanza Duniani kuvumbua namna nzuri ya 4C's (Carat, Colour, Cut, Clarity) kupanga ubora wa Almasi ambao ndio mfumo wa Kimataifa wa thaminisha Almasi na wataalam wa viwango na vito vyote vya mapambo hutumia njia hiyo.
Kwanza kabisa, ni muhimu kukumbuka kuwa Almasi ya asili ni sawa, kiasili. Almasi iliyotenezwa katika maabara itakuwa 'kamilifu', lakini ikitokea ukaambiaa uwe mlinzi wa almasi halisi utahitaji kuwa na mafunzo kwa7bu hiyo NI kazi maalumu na kipekee inahitaji maarifa zaidi ya kuona
VISA VYA HISTORIA YA ALMAS TZ🇹🇿
#Kwanza: Naomba nikufahamishe kuwa biashara ya madini duniani imekamatwa na familia mbili tu za Kiyahudi. Moja ikijielekeza kwenye madini ya Dhahabu na jamii zake ambayo ndio @BarrickGold na nyingine ktk madini ya Almasi ambao ndio @DeBeers
#Kwanza: Naomba nikufahamishe kuwa biashara ya madini duniani imekamatwa na familia mbili tu za Kiyahudi. Moja ikijielekeza kwenye madini ya Dhahabu na jamii zake ambayo ndio @BarrickGold na nyingine ktk madini ya Almasi ambao ndio @DeBeers
Duniani kote familia ya Kiyahudi ya OPPENHEIMER (waliohamia South Africa) wenye kampuni ya @debeersgroup ndiyo imejimilikisha madini yote ya almasi yaliyopo ktk dunia hii baada ya kumpoka kwa nguvu umiliki wa kampuni CECIL RHODES.
Kuanzia madini ya India na Brazil, Afrika Kusini na Angola, Siera Leone na Botswana, Mwadui Shinyanga hadi Siberia ni Mali ya DE BEERS.
Mwaka 1940 Dr JOHN WILLIAMSON alifungua mgodi wa Almas Mwadui (Shinyanga). Mwadui ilikuwa na mkanda wa #Kimberlite wenye hifadhi nyingi ya Almas.
Dr Williamson raia wa Canada akautengeneza mji wa Mwadui ukawa moja ya miji bora kusini mwa jangwa la Sahara ikaitwa MWADUI TOWNSHIP.
Dr Williamson raia wa Canada akautengeneza mji wa Mwadui ukawa moja ya miji bora kusini mwa jangwa la Sahara ikaitwa MWADUI TOWNSHIP.
vilivyokuwa na viwango vya kimataifa vilijengwa ndani ya mgodi wa Williamson.
Timu ya mpira ya Mwadui Mining ilishiriki mashindano ya kitaifa kwa ubora mkubwa. Waamuzi wakongwe wa viwango vya kimataifa kama Mshangama na Mashishanga (RC wa zamani) ni matunda ya Dr Williamson.
Timu ya mpira ya Mwadui Mining ilishiriki mashindano ya kitaifa kwa ubora mkubwa. Waamuzi wakongwe wa viwango vya kimataifa kama Mshangama na Mashishanga (RC wa zamani) ni matunda ya Dr Williamson.
Ustawi wa maisha ya mgodi na kushamiri kwa faida ya Dr Williamson kuliwauzi wamiliki wakubwa wa biashara ya madini ya almasi ambao ni DE BEERS Group of Co. Almasi ya Mwadui iliingia kwa kasi sana katika soko la dunia jijini London.
De Beers wakashindwa kumdhibiti Dr Williamson na almasi yake, akafanya almasi ya Afrika Kusini kushuka thamani katika soko la dunia, njia pekee iliyobaki kwa De Beers ilikuwa kumtaka Dr Willy aungane nao katika biashara. Dr Williamson alikataa kuupeleka mgodi kwa namna yake,
hakutaka kuwanyonya Waafrika na wafanyakazi wake, ndoto zake ilikuwa ni kuijenga "Quebec ndogo ndani ya Tanganyika", alitaka kuonyesha tofauti ya thamani ya madini na maisha ya wazawa kwa kuutumia mgodi wa Mwadui kwasababu zamani aliishi Afrika Kusini akaona dhuluma
Ndoto za DE BEERS kumiliki Madini yote ya Almasi chini ya ardhi ya Dunia na familia ya OPPENHEIMER ikawa imetimia. MWL. JULIUS NYERERE alipochukua nchi 1961, baadae aliamua kutaifisha mali zote akaunda STAMICO isimamie sekta ya madini. DE BEERS iliwauma sana kufurushwa na Nyerere
Hawa Waisrael wakaunda Team ya namna ya kumkomesha MWL. NYERERE, kwanza waliweka fitna ktk soko la almasi pale London, wakazishawishi Diamond Cutters and Polishing Companies" kule London ziisusie almasi ya Mwadui, Mwalimu akawa mbishi na kuimarisha"TunCut Diamond Co." pale Iringa
De Beers wakazidi kuweka fitna kwenye viwanda vinavyotengeneza vipuri vya mitambo iliyopo Mwadui. Kuanzia mitambo ya kuchimba, kusafisha na kuchambua almasi. Mwishowe vifaa vikachakaa bila kuwa na ukarabati. Uzalishaji ukapungua na almasi ya Mwadui ikapotea katika soko la dunia.
Wataalamu toka nje waliokuwa katika mgodi wa Mwadui wakaondoka. Ikawa ni hasara juu ya hasara. Mwaka 1993, DE BEERS kupitia HERRY OPPENHEIMER yuleyule wa enzi za Dr Williamson walirudi Tanzania kupitia mtoto wao NICOLAUS OPPENHEIMER, wakaishawishi serikali ya Tanzania,
Hatimaye DE BEERS Group of co. wakauziwa 75% ya hisa za MGODI wa MWADUI, ile ndoto yao ya kumiliki madini yote ya almasi ya dunia ikaendelea kutimia. Hawa ndio DE BEERS familia ya Kiyahudi ya OPPENHEIMER. Wanaosadiki kuwa almasi yote inayopatikana ktk uso wa dunia hii ni mali yao
Waliomsurubu Dr JOHN THORBUN WILLIAMSON, mzungu-msukuma aliyetaka mali ya ardhi ya Mwadui ilete thamani kwa Waafrika na Tanganyika. Hawa ndio De Beers waliomtikisa Mwalimu, hawa ndio familia ya almasi duniani, wanaochochea yale ya Angola ya Savimbi, Siere Leone ya Foudah Sankho.
Madini haya yana thamani sana na faida kubwa achilia kwa mtu mmoja mmoja hata kwa serikali pia. MFANO: Takwimu zinaonyesha kwa mwaka 2019/20 madini ya vito ya almasi yenye uzito wa carats 416,749.51 iliuzwa nje kwa US$ 89.3M ambapo mrabaha ulikuwa US$ 5.4M + Ukaguzi US$ 893,346
Almasi ghali zaidi duniani ni ile yenye rangi ya waridi (pink) ambayo ni adimu kupatikana iliuzwa kwa US$ 50.3M kwa karati, ambapo jiwe lote lilikuwa na uzito wa zaidi ya Carat 19. Almasi hiyo ilinunuliwa na chapa ya @HarryWinston kutoka Marekani ktk mnada uliofanyika Geneva.
Almasi kubwa zaidi zipo mbili na zote zilichimbwa nchini Sierra Leone. Moja yenye Carat 476 ikiwa ya 29 kuwahi kupatikana duniani na nyinhine iliuzwa mwaka jana iliyokuwa na Carat 700 ndiyo ni kubwa zaidi kuliko zote.
END_______&&
🔄 and FOLLOW ME @Eng_Matarra
Thanks Much 🙏🙏
END_______&&
🔄 and FOLLOW ME @Eng_Matarra
Thanks Much 🙏🙏
@threadreaderapp compile this
Loading suggestions...